Umoja wa Mataifa unasema mama ya watu waliuawa kwenye maandamano. Video tulizothibitisha zinaonyesha polisi walitumia nguvu kubwa katika katika harakati za kuzima maandamano hayo.
source https://www.bbc.com/swahili/articles/ckgk01x1zgxo?at_medium=RSS&at_campaign=rss
0 Comments