Ticker

6/recent/ticker-posts

RADIO ONE

Wanasoka wanawake watano Afrika wanaolipwa fedha nyingi zaidi 2025

Tofauti na soka la wanaume ambako wachezaji hupata mishahara ya mamilioni kwa mwaka, wachezaji wanawake wengi kwa mwaka mwaka 2025 hupata kati ya $100,000 hadi $600,000 kwa wachezaji wa ngazi ya juu kabisa.

source https://www.bbc.com/swahili/articles/c0r9qqndpy0o?at_medium=RSS&at_campaign=rss

Post a Comment

0 Comments