Ticker

6/recent/ticker-posts

RADIO ONE

Yafahamu mambo 9 yatakayojadiliwa na Bunge la Ulaya kuhusu Tanzania

Bunge la Ulaya leo Novemba 27, 2025 litajadili azimio linalohusiana na matukio ya Oktoba 29, 2025 siku ya uchaguzi na baada ya uchaguzi nchini Tanzania, haki za binadamu, ikiwemo kesi ya kiongozi wa upinzani, Tundu Lissu.

source https://www.bbc.com/swahili/articles/cly0j15107do?at_medium=RSS&at_campaign=rss

Post a Comment

0 Comments