Ticker

6/recent/ticker-posts

RADIO ONE

Maandamano Tanzania: Hofu ya machafuko yazua ununuzi wa dharura

Hali hii ya ununuzi wa dharura imehusishwa moja kwa moja na hofu ya kufanyika maandamano mengine ambayo yamepigwa marufuku na Jeshi la Polisi tarehe 9 Desemba. Serikali imewakikishia usalama wananchi.

source https://www.bbc.com/swahili/articles/c1dzxd7dqego?at_medium=RSS&at_campaign=rss

Post a Comment

0 Comments