Ticker

6/recent/ticker-posts

RADIO ONE

Maandamano Tanzania: Miji mikuu yabaki tulivu asubuhi ya Disemba 9 huku tahadhari zikiongezeka

Huku leo Disemba 9, siku ambayo pia ni kumbukumbu ya Uhuru wa Tanzania bara, ikiwa ndio siku iliyotajwa kwa maandamano yaliyopigwa marufuku, hali katika maeneo kadhaa ya nchi hiyo imeripotiwa kuwa tulivu asubuhi hii lakini yenye tahadhari kubwa.

source https://www.bbc.com/swahili/articles/cx257lpmpejo?at_medium=RSS&at_campaign=rss

Post a Comment

0 Comments