Ticker

6/recent/ticker-posts

RADIO ONE

Trump asifu makubaliano ya amani ya kihistoria kati ya DR Congo na Rwanda

Katika sherehe ya kusaini, Rais Tshisekedi na Kagame hawakupeana mikono na walionekana kukwepana, lakini hilo halikumzuia Trump kusisitiza kwamba makubaliano hayo ni “muhimu kwa Afrika na dunia”.

source https://www.bbc.co.uk/swahili/live/cgr1xkdge0gt?at_medium=RSS&at_campaign=rss

Post a Comment

0 Comments