Ticker

6/recent/ticker-posts

RADIO ONE

Gen Z Tanzania wanavyozima udini kwa utani na ubunifu

Kwa takribani wiki moja sasa, mijadala ya udini imechukua nafasi kubwa katika mazungumzo ya mtandaoni nchini Tanzania, kufuatia matamko ya baadhi ya viongozi wa dini kuhusu maandamano na mabadiliko ya kisiasa nchini humo.

source https://www.bbc.com/swahili/articles/c5yqx4r4d78o?at_medium=RSS&at_campaign=rss

Post a Comment

0 Comments