Siku mbili baada ya sare ya kustaajabisha ya The Gunners dhidi ya Sunderland kuwapa wapinzani wao wa Ligi Kuu matumaini mapya, ushindi wa Jumapili dhidi ya Tottenham umewarudisha kwenye kilele.
source https://www.bbc.com/swahili/articles/cx2g41qq0zzo?at_medium=RSS&at_campaign=rss
0 Comments